Jinsi ya kupika makande ya mahindi
Maandalizi ya jinsi ya kupika makande ya mahindi.
.hakikisha unasufuria ya kupikia
. hakikisha una mafuta ya kupikia
.hakikisha una viungo vyote
VIUNGO VINAVYOHITAJIKA
.Kitunguu
.nyanya
.karoti
.hoho
.mafuta
.jumvi
JINSI YA KUPIKA
-weka sufuria kisha bandika maji motoni yenye wastani wa mahindi yako
_acha yachemke
_weka maharage yako
_acha yachemke ndani ya dakika tano
_weka mahindi kwenye maji yaliyo changanywa na maharage
_weka chumvi & mafuta
_funika ndani ya dakika ishirini
_weka nyanya,kitunguu,hoho,karoti.
_funika ndani ya masaa mawili,Baada ya hapo funua sufuria na makande yako yapo tayari kwa kuliwa.
Comments
Post a Comment