Jinsi ya kupika kupika maandazi
Jinsi ya kupika maandazi.
VIAMBA UPISHI
_kikaango
_sukari
_amira
_maji ya vuguvugu
_unga wa ngano
_mafuta
JINSI YA KUPIKA
. Chukua unga wako wa ngano uweke kwenye chombo chenye maji ya vuguvugu
.weka chumvi
. weka mafuta kidogo
.anza kukanda unga mpaka upate umbo la Duara halisi
.chukua kisukumio anza kusukuma Duara lako mpaka upate umbo la chapati
.katakata vipande vinavyokidhi matakwa yako
. chukua kikaangio kiweke motoni kisha weka mafuta mengi kiasi
.acha mafuta ya chemke kisha weka vipande vyako vya maandazi ulivyo andaa
.acha ndani ya dakika tano kisha geuza mpaka upate rangi ya kahawia
.Epua maandazi yako na yapo tayari kwa kuliwa.
Comments
Post a Comment