Jinsi ya kupika chapati

 VIFAA 

  1. Kikaangio 
  2. Msukumio mafuta 
  3. Chumvi kidogo 
JINSI YA KUPIKA 

_weka maji ya vuguvugu kwenye beseni dogo 

_weka unga wako wa ngano 

_weka chumvi kwa juu yake 

_weka mafuta juu yake 

_nyanganya unga pamoja na viamba upishi vyake,mpaka upate duara linalifaa kusukumiwa chapati 

_katakata maduara madogo madogo yanayo kidhi aina ya chapati unayotaka kutengeneza 

_sukuma maduara hayo mpaka upate umbo la sahani 


JINSI YA KUPIKA 

-Weka kikaango motoni 

-weka mafuta juu ya kikaango 

-weka chapati yako moja 

-geuza mpaka upate rangi ya dhahabu kwa mbali 

-fanya ivyo kwa kila chapati 

-Chapati yako ipo tayari kwa kuliwa Asante,pia unaweza kutumia mboga hizi ili kuongeza utamu zaidi...maharage,mchuzi wa nyama,chai...


Comments